Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Phiên bản mới nhất

Phiên bản
Cập nhật
5 thg 9, 2023
Nhà phát triển
Thể loại
Google Play ID
Lượt cài đặt
10.000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazi masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. k.v. Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenya Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' n.k

Thông tin liên lạc:
ĐT: +254718055483
Địa chỉ email: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Trang Facebook: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
Kênh YouTube: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Đọc thêm

Quảng cáo