Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Laatste Versie

Versie
Update
5 sep. 2023
Ontwikkelaar
Categorie
Google Play ID
Installaties
10.000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. k.v. Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenia Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' n.k

Contactgegevens:
Tel: +254718055483
E-mailadres: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Facebook-pagina: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
YouTube-kanaal: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Meer informatie

Advertentie