Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Ultima versione

Versione
Aggiornare
5 set 2023
Sviluppatore
Categoria
Google Play ID
Installazioni
10.000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. kv Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenya Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' nk

Informazioni sui contatti:
Telefono: +254718055483
Indirizzo e-mail: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Pagina Facebook: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
Canale YouTube: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Ulteriori informazioni

Pubblicità