Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Última versão

Versão
Atualizar
5 de set de 2023
Desenvolvedor
Categoria
Google Play ID
Instalações
10.000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. k.v. Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini Quênia Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' n.k

Informações de Contato:
Tel: +254718055483
Endereço de e-mail: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Página do Facebook: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
Canal do YouTube: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Ler mais

Anúncio