Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Versi Terbaru

Versi
Memperbarui
5 Sep 2023
Developer
Kategori
Google Play ID
Instal
10.000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. k.v. Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenya Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' n.k

Kontak informasi:
Telp: +254718055483
Alamat email: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Halaman Facebook: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
Saluran YouTube: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Baca selengkapnya

Iklan