Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.

Latest Version

Version
Update
Sep 5, 2023
Developer
Category
Google Play ID
Installs
10,000+

App APKs

Mwongozo wa Bembea ya Maisha APP

Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.

Kitabu hiki kimeangazia vipengele vya uandishi wa Fasihi andishi. k.v. Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k

Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenya Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' n.k

Contact information:
Tel: +254718055483
Email address: mwalimusifuna@gmail.com
WhatsApp: https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Facebook page: https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
YouTube channel: https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Read more

Advertisement